Back to home

Ruto kutanua usajili wa NYS hadi laki moja kwa muda wa miaka mitatu

video
August 28, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Rais William Ruto ametangaza kuwa zoezi la kuwasajili vijana kwenye idara ya NYS itaimarishwa kutoka elfu kumi na nane hadi laki moja katika muda wa miaka mitatu ijayo..