Back to home

Mdahalo wa uhamisho wa ununuzi mtandaoni waendelea

video
September 2, 2025
7h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Gavana wa Murang'a, Irungu Kang'ata na Seneta wa Kitui, Enoch Wambua, wamehimiza Hazina ya Kitaifa kuharakisha utekelezaji wa mfumo wa ununuzi wa bidhaa na huduma kupitia mfumo wa kidijitali ili kutoa fedha kwa serikali za kaunti..