Back to home

Gavana wa Isiolo awafuta kazi mawaziri wawili

video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Gavana wa Isiolo Abdi Guyo amefanya mabadiliko makubwa katika serikali ya Kaunti hiyo baada ya kunusurika kwenye jaribio la kufurushwa ofisini. Guyo aliwafuta kazi mawaziri wawili, akamwondolea majukumu Naibu Gavana na kupunguza idadi ya maafisa wakuu kutoka 31 hadi 21. Guyo alit..