Back to homeWatch Original
Mshauri wa Rais atoa wito kwa sekta binafsi kuingilia vita
video
September 3, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mshauri wa rais kuhusu haki za wanawake Harriette Chiggai ametoa wito kwa sekta ya binafsi kujiunga na vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, akisema swala hilo bado ni kikwazo kikubwa katika kufikia uwezo kamili wa wanawake. Mshauri huyo anasema kwamba visa hivi vinazuia wanawak..