Back to home

Rais William Ruto azuru kaunti ya Mombasa

video
September 4, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Rais William Ruto anatazamiwa kufungua rasmi maonyesho ya kilimo tawi la Mombasa hii leo. Maonyesho hayo yalianza hapo jana na yamewavutia washiriki zaidi ya 1,000 yakilenga kupiga jeki kilimo cha kisasa na uwekezaji. Francis Mtalaki anajiunga nasi mbashara kutoka Mombasa..