Back to homeWatch Original
Wachimbaji migodi wachimbiwa kisima huko Osiri Migori
video
September 5, 2025
8h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakaazi wa Osiri, eneo bunge la Nyatike kaunti ya Migori wanaelezea matumaini yao mpango mpya wa uchimbaji visima unaolenga kukabiliana na uhaba wa maji safi katika eneo hilo..