Back to home

Shamba la ekari 19 za miwa lilichomwa yala Kaunti ya Siaya

video
September 5, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakazi wa Yimbo eneo Bunge la Alego Usonga wameghadhabishwa na tukio la uhuni la kuchomwa kwa ekari 19 za miwa katika shamba la Lake Agro lililoko katika kinamasi cha Yala viungani mwa mji wa Siaya. Ni kitendo kilichowaacha wakazi na wakulima na mshangao, wakihofia kuwa kitendo h..