Back to home

Gavana wa Isiolo Guyo akana tuhuma za utekaji nyara

video
September 7, 2025
19h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Abdirahman mohamed, aliyekuwa waziri wa afya kaunti ya isiolo na anayedaiwa kudhulumiwa na gavana wa isiolo abdi guyo amevunja kimya chake kufuatia kile anadai ni dhuluma mikononi mwa gavana huyo kwa kuunga mkono hoja ya kubanduliwa kwake. Abdirahman aliyewachwa ruai baada ya kut..