Back to home

Abdirahman Hajj amlaumu Gavana Guyo kwa utekaji nyara

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 8, 2025
16h ago
Abdirahman Mohamed, aliyekuwa waziri wa afya kaunti ya Isiolo na anayedaiwa kudhulumiwa na Gavana wa Isiolo Abdi Guyo amevunja kimya chake kufuatia kile anadai ni dhuluma mikononi mwa Gavana huyo kwa kuunga mkono hoja ya kubanduliwa kwake. Abdirahman aliyewachwa Ruai baada ya kut