Back to home

Ombi la familia Kisii

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 8, 2025
18h ago
Familia moja huko Kisii inaomba serikali kumsaidia mpendwa wao ambaye amekwama huko Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa baada ya kupatikana na Mogoka ndani mzigo aliopewa katika uwanja wa ndege wa Dubai. Jamaa huyo kwa jina Evans Nyasimi kwa sasa anahangaika ughaibuni kwani hata