Back to home
Wakenya waitaka serikali kupunguza zaidi bei za bidhaa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
5h ago
Serikali ya Rais William Ruto inapofikisha miaka mitatu uongozini, tunaangazia bei ya unga tukilinganisha na miaka mitatu iliyopita wakati siasa za unga zilichacha nchini. Mwanahabari wetu Chrispine Otieno ametembea katika baadhi ya maduka na kuzungumza na wananchi kuhusu bei za