Back to home

Bei za bidhaa nyingi muhimu zilipanda mno mwaka wa 2022

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 9, 2025
5h ago
Katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa Kenya Kwanza, uchumi wa nchi umeonyesha matokeo mchanganyiko. Hali hii pia imeonekana katika gharama ya maisha, ambapo baadhi ya bidhaa za nyumbani zimepungua bei huku nyingine zikisalia juu. Jimmy Mbogoh sasa anatupatia tathmini ya b