Back to home
Wakenya wengi bado hawawezi kukithi mahitaji ya kila siku
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
5h ago
Miaka mitatu baada ya Rais William Ruto kuchukua hatamu za uongozi, bado mamilioni ya wakenya wanahangaika na gharama ya juu ya maisha. Upungufu wa mapato umewazuia wengi kukimu mahitaji ya kila siku. Licha ya serikali kuweka mikakati kama kutoa mbolea ya bei nafuu, wananchi wana