Back to home
Baraza la wazee lataka serikali kuu kusuluhisha migogoro
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
4h ago
Baadhi ya wazee na wakazi wa Kaunti ya Isiolo wameitaka serikali ya kitaifa kuchukua hatua za haraka kutatua mgogoro wa uongozi unaoendelea kushuhudiwa katika Kaunti hiyo. Aidha wazee hao wamesema kuwa mvutano huo umezaa mabunge mawili pinzani, bajeti tata, hali ya ukosefu wa usa