Back to home
Mombasa: Familia yalilia haki ya binti aliyedaiwa kubakwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
6h ago
Familia moja inalilia haki kwa mtoto wao wa kike wa miaka 16 ambaye anadaiwa kubakwa na jamaa wanayemfahamu. Familia hiyo ilisafiri na rafiki kutoka nairobi hadi mombasa kushirikia michezo ya pool ambapo mshukiwa anadaiwa kurudi katika chumba walichokuwa wamekodi na kumbaka msich