Back to home

Mashirika ya kutetea haki yataka waathiriwa walipwe fidia Tana River

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2025
3h ago
Mashirika ya kutetea haki za binadamu sasa wanataka shirika la uhifadhali wanyama pori KWS kufidia familia waliopoteza maisha yao kupitia mashambulizi ya wanyama wao katika kaunti ya Tana River.