Back to home
Kuongezwa kwa polisi kwaimarisha usalama Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2025
2h ago
Ukosefu wa usalama katika kaunti ya Samburu ni suala ambalo limewasumbua wakazi kwa miaka mingi huku serikali ikitafuta mbinu za kurejesha usalama katika eneo hilo kwa miaka mingi. Kuongezwa kwa doria za usalama na kuajiriwa kwa polisi zaidi wa akiba kumeonekana kuzaa matunda huk