Back to home
Wakazi wengi wa kaunti ya Busia wakosa matibabu ya ngozi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2025
1h ago
Huku kaunti ya Busia ikiwa miongoni mwa kaunti zinazokumbwa na visa vingi vya magonjwa ya ngozi ambayo hayazungumziwi, imewalazimu maafisa kutoka chama cha maradhi ya ngozi nchini kuwashirikisha wakazi katika matembezi ya zaidi ya kilomita nane ili kutoa hamasa. wakazi walielezew