Back to home
Wahudumu wa bodaboda wadai haki ya mwenzao aliyeuawa Emali
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2025
3h ago
Wahudumu wa boda boda katika miji ya Emali, makindu na Kibwezi walifika katika ofisi za gavana wa makueni mjini Wote wakishinikiza kupatikana kwa haki ya mmoja wao ambaye aliuawa mjini Kibwezi na watu wanaojulikana kwa madai ya wizi. Kulingana nao, madai hayo si ya kweli na sasa