Back to home

Mahakama yaagiza mwanajeshi wa Uingereza kukamatwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2025
2h ago
Mahakama kuu nchini ilitoa agizo la kukamatwa kwa raia wa Uingereza aliyehusishwa na mauaji ya mwanamke mkenya Agnes Wanjiru zaidi ya miaka 10 iliyopita. Jaji Alexander Muteti alitoa agizo hili huku sasa familia ya marehemu Agnes Wanjiru ikisema imeanza kuwa na matumaimi kwamba h