Back to home

Hakimu mkuu wa Mahakama ya Kangema asimamishwa kutekeleza majukumu yake baada ya kukamatwa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 22, 2026
2h ago
Tume ya Huduma za Mahakama imemsimamisha kutekeleza majukumu yake ya kimahakama Hakimu Mkuu Mwandamizi wa Mahakama ya Kangema, Martin Mutegi, kufuatia kukamatwa kwake pamoja na Afisa Mkuu wa Huduma za Uangalizi, Julius Irungu Njogu. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest
Advertisement