Back to home

Hakimu wa Kangema asimamishwa kazi baada ya kukamatwa na EACC

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 22, 2026
2h ago
Tume ya Huduma za Mahakama imemsimamisha kazi kwa muda hakimu mwandamizi wa Mahakama ya Kangema, Martin Kinyua. Hii ni baada ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kumkamata kwa tuhuma za kuitisha na kupokea hongo. Kwa mujibu wa EACC, hakimu Kinyua na afisa mwanagenzi
Advertisement