Back to home

Kenya yaelekea Ethiopia kwa mechi za kufuzu U20

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2025
2h ago
Timu ya wanawake ya kenya chini ya miaka 20, rising starlets waliondoka kwenda Ethiopia kabla ya mechi yao ya kufuzu kwa kombe la dunia la fifa chini ya miaka 20 dhidi ya wenyeji siku ya Jumapili mjini addis ababa, Ethiopia.