Back to home
Msichana aliyedhaniwa kufariki amerejea nyumbani Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2025
3h ago
Msichana aliyedhaniwa kufariki na kuzikwa miezi minane iliyopita aliduwaza kijiji kizima huko Nyaribari Chache baada ya kurejea nyumbani akiwa buheri wa afya. Sarah Kwamboka alijitokeza baada ya mazishi yake kuandaliwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya kuripotiwa kuhusika kwenye