Back to home
Vuta nikuvute kati ya wabunge na serikali kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki wa ununuzi yaendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2025
3h ago
Vuta nikuvute kati ya wabunge na serikali kuhusu mfumo mpya wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Serikali imeendelea leo huku waziri wa hazina kuu John Mbadi akisisitiza mpango utaendelea. Huku wabunge wakishikilia kuwa mfumo huo hauwezi kufanikishwa kwa sasa, Waziri Mbadi naye akishik