Back to home
Polisi mjini Maralal wamkamata mshukiwa wa wizi kwa kamera za CCTV
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2025
3h ago
Maafisa wa usalama katika kaunti ya Samburu,,wamemtia mbaroni mshukiwa mmoja wa wizi wa kimabavu,anayeamika kuongoza kikosi Cha wahuni waliojihami Kwa bunduki. Watuhumiwa walivamia duka moja mjini Maralal, wakamjeruhi mhudumu wa duka hilo na kutoweka na shilingi Elfu themanini na