Back to home

IPOA yachunguza kifo cha Warui ddani ya seli

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 22, 2025
2h ago
Mamlaka ya utendakazi wa polisi ipoa imeanzisha uchunguzi kuhusiana na mauwaji ya mwanamume mmoja aliyefariki ndani ya kituo cha polisi cha central mjini mombasa. Maafisa wa polisi wanadai kuwa marehemu simon warui alikuwa amemuibia mwajiri wake nairobi kabla ya kutorokea mombasa