Back to home
Rais Ruto atetea Haiti, awalaumu mataifa kutotiza ahadi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 22, 2025
2h ago
Rais William Ruto amelaumu utepetevu wa baadhi ya mataifa akiyalaumu kwa kile anasema ni kurudisha nyuma harakati za kuleta amani nchiini Haiti. Rais akisema kuwa licha ya ahadi nyingi zilizotolewa, ni mataifa machache pekee yaliyojitolea kwa hali na mali katika juhudi hizo. Akiz