Back to home
Ujenzi wa barabara watarajiwa kuchochea ukuaji wa sekta ya utalii maeneo ya Malindi na Watamu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 23, 2025
2h ago
Sekta ya Utalii maeneo ya Malindi na Watamu inatarajiwa kuimarika katika siku za usoni baada ya serikali ya kaunti hiyo kuzindua awamu ya pili ya ujenzi wa barabara inayounganisha miji hiyo ya kitalii.