Back to home
Wahadhiri waendeleza mgomo katika vyuo vikuu vya umma
video
C
Citizen TV (Youtube)September 24, 2025
2mo ago
Wanachama wa muungano wa UASU ambao unajumuisha wahadhiri na hata wafanyikazi katika vyuo vikuu vya umma wanaendelea na mgomo wao. Wahadhiri hao ambao wamebeba mabango ya kukashifu serikali kwa kuwapuuza, wamesema hawatarejea kazini hadi serikali itimize mkataba wao wa malipo. he
University Lecturers Strike Over Government's Failure to Pay KSh 7.9 Billion Debt - September 2025
Lecturers from Kenyan public universities, under the umbrella of UASU, have staged protests and are on strike, which has entered its second week. The strike has paralyzed academic activities and is causing disruption for students. The lecturers accuse the government of failing to honor collective bargaining agreements and a major point of contention is the non-payment of a KSh 7.9 billion debt owed from the 2017-2021 period. They insist they will not return to work until the government addresses their grievances, despite a warning from the Minister of Education to return to work.
Wahadhiri wa vyuo vikuu waandamana, wasema serikali imefeli kulipa deni ya Sh7.9bn ya 2017-2021
NTV Kenya (Youtube)
Video
Mgomo wa wahadhiri wakwaza masomo, wanafunzi vyuo vikuu waumia
Citizen TV (Youtube)
Video
3 stories in this topic
View Full CoverageAdvertisement




