Back to home

Viongozi watafuta mbinu ya kukabiliana na dhulma za kijamii katika kaunti ya Murang’a

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 24, 2025
2h ago
Viongozi katika Kaunti ya Murang'a wanatoa wito wa mbinu ya pamoja kuhusu afya ya akili, inayowaleta pamoja viongozi wa kidini, jamii, na serikali.