Back to home

Serikali yawataka viongozi wa makanisa kushirikiana nao kukabili matumizi ya dawa za kulevya

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 22, 2025
2d ago
Serikali inawataka viongozi wa makanisa kushirikiana nao kukabili matumizi ya dawa za kulevya, ukatili wa kijinsia, magenge ya uhalifu, ujambazi na ugaidi.