Back to home
Ujenzi wa bwawa la Thwake wajikokota kwa kukosa pesa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 25, 2025
2h ago
Serikali kwa mara nyingine imejitetea kufuatia kuendelea kujikokota kwa ujenzi wa bwawa la Thwake ,ndoto ya wakwazi wa eneo la ukambani kupata maji karibuni ikiendelea kudidimia. Aidha Waziri wa maji Eric Mugaa amewataka wakazi wa eneo la ukambani kuwa wavumilivu