Back to home
Mradi wa maji Tana River kuwafaidi wakazi wa maeneo ya Golbati na Ngao
video
C
Citizen TV (Youtube)September 29, 2025
2h ago
Ni afueni kwa wenyeji wa Golbati na Ngao kaunti ya Tana River baada ya kukamilika na kuzinduliwa kwa mradi wa maji eneo hilo.
Mradi huo uliyogharimu zaidi ya shilingi laki moja utafaidi familia elfu tisa ambapo maji pia yatasambazwa kwa miji ya Tarasaa na Oda eneo bunge la Gars