Back to home

Wafugaji samaki Kisumu wakadiria hasara ya zaidi ya shilingi milioni 10 kutokana na vifo vya samaki

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Wafugaji samaki wa vizimbani kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara ya zaidi ya shilingi milioni kumi, kufuatia vifo vya ghafla vya samaki wao. Katika siku mbili zilizopita, vizimba kumi na mbili vimepoteza samaki wote kutokana na ukosefu wa hewa. idara ya afya kaunti ya Kisumu ime