Back to home

Mgomo wa wahadhiri wazidi kuzorotesha masomo huku wakiapa kutorejea kazini bila bilion 7.9

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 1, 2025
2h ago
Wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu wameapa kutorejea kazini huku mgomo wao ukiingia wiki ya tatu. Wakuu wa vyama vya UASU na KUSU wakisema ni lazima walipwe shilingi bilioni 7.9 zilizoafikiwa kwenye makubaliano ya mwaka 2017–2021. Waziri wa elimu, julius migos ogamba hata h