Back to home
Safari ya Starlets kuelekea AFCON yang'oa nanga
video
C
Citizen TV (Youtube)October 2, 2025
2h ago
Kocha wa timu ya taifa ya kandanda ya wanawake Harambee Starlets Beldine Odemba amewaita wachezaji sita kutoka timu ya Rising Starlets kwenye kikosi cha kufuzu kwa kombe la mataifa ya Afrika. Odemba amewataka wachezaji 38 kufika kambini Jumapili, tarehe 5 Oktoba