Back to home
Msamaria mwema amjengea nyumba ya kudumu mwanamume aliyekuwa anaishi kwenye banda, Tharaka Nithi
video
C
Citizen TV (Youtube)October 4, 2025
2h ago
Erickson Gitonga amekuwa akiishi maisha ya upweke baada ya kuhusika kwenye ajali ya barabarani na kukosa makao bora. Lakini hii leo atapata usiku mnono katika nyumba yake mpya baada ya msamaria mwema kujitokeza na kumjengea nyumba ya kudumu.