Back to home
Master Ibrahim Ndung'u apandishwa daraja katika mashindano ya ulengaji shabaha
video
C
Citizen TV (Youtube)October 4, 2025
2h ago
Mlengaji shabaha bora zaidi nchini Masta Ibrahim Ndung'u ameandikisha historia ya kuwa mkenya wa kwanza kupandishwa ngazi hadi kiwango cha 'A' cha mashindano ya IPSC.