Back to home
Mikataba ya makubaliano kati ya serikali na wahadhiri yaibua mtafaruku
video
C
Citizen TV (Youtube)October 4, 2025
2h ago
Na sasa tuelekee kwenye mgomo wa waadhiri ulioingia siku ya 25. Ukosefu wa utekelezaji wa mikataba ya makubaliano umechangia misururu ya mgomo katika vyo vikuu vya umma nchini. Mbali na hayo maswala mengine yameibuka na ambayo sasa yamesambaratisha shughuli za masomo kwa wiki ya