Back to home

Wanafunzi katika Chuo Kiku cha Moi walalamikia hasara, wahadhiri bado wagoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 6, 2025
2h ago
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Moi wameandamana jijini eldoret kulalamikia mgomo wa wahadhiri unaoendelea kwa wiki ya nne sasa. Wanafunzi hao wanasema wamelipa karo na hawataendelea kuvumilia na kupoteza muda wao chuoni ilihali wanagharamikia hasara ya chakula na kodi ya nyumba. Wan