Back to home
Wanafunzi wawili wa chekechea wafariki Kayole baada ya kuangukiwa na vifusi vya ujenzi
video
C
Citizen TV (Youtube)October 6, 2025
3h ago
Wanafunzi wawili wa shule ya chekechekea ya Emmanuel New Life Centre iliyoko mtaani Kayole hapa Nairobi wamefariki baada ya kuangukiwa na vifusi vya nyumba jirani iliyokuwa ikijengwa