Back to home

Watu wawili wafariki baada ya jengo kuporomoka katika soko la Gikomba jijini Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 26, 2026
2h ago
Watu wawili wafariki baada ya jengo kuporomoka katika soko la Gikomba jijini Nairobi. Wawili hao wasemekana kuwa walikuwa wakitafuta vyuma vikuukuu wakati jengo lililoathiriwa na janga la moto. Juhudi za kuokoa bado zaendelea kwenye soko hilo.
Advertisement