Back to home

Wanafunzi watishia kujiunga na wahadhiri wanaogoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 7, 2025
2h ago
Huku mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma nchini ukiendelea, viongozi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Laikipia wametishia kujiunga na mgomo huo iwapo serikali haitawajibika kwa kipindi cha saa 72.