Back to home
Wanafunzi wa PhD UoN waanzisha mtandao wa ushauri na ushirikiano
video
C
Citizen TV (Youtube)June 29, 2026
1h ago
Wanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD) katika katika Chuo Kikuu cha Nairobi wameanzisha mtandao wa ushirikiano na ushauri kwa lengo la kukabiliana na changamoto za upweke, msongo wa mawazo na vikwazo vingine vinavyowakumba watafiti. Mpango huo unalenga kuimarisha ustawi wa wanafun
Advertisement
Advertisement





