Back to home
Moto wateketeza maduka zaidi ya 30 katika soko la Kaplong
video
C
Citizen TV (Youtube)June 29, 2026
2h ago
Wafanyabiashara katika soko la Kaplong, eneo bunge la Sotik, wanakadiria kupata hasara kubwa baada ya moto kuteketeza maduka zaidi ya 30 majira ya saa kumi na moja alfajiri. Chanzo cha moto huo hakijabainika, huku wafanyabiashara wakitoa wito kwa mamlaka kuharakisha uchunguzi na
Advertisement
Advertisement




