Back to home
Mwanamume atafutwa baada ya kudaiwa kumuua mkewe Kakamega
video
C
Citizen TV (Youtube)October 7, 2025
2h ago
Maafisa wa polisi Kakamega wanamsaka mwanaume mmoja kwa jina Kassim Asman ambaye anadaiwa kumpiga mkewe hadi kufa kutokana na mzozo wa shilingi 5,400 kabla ya kuusafirisha mwili wake wakiwa na mwenzake kwa pikipiki hadi katika hospitali ya rufaa ya Kakamega na hatimaye kuupeleka