Back to home

Familia za vijana wawili waliouawa kwenye mzozo wa shamba zalia Nandi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 7, 2025
2h ago
Familia mbili katika eneo la Kimwani kaunti ya Nandi zimeitaka serikali kuhakikisha haki inatendeka baada ya wana wao kupoteza maisha kwa kupigwa risasi na polisi kwenye mzozo wa ardhi unaoendelea katika eneo hilo.