Back to home

Mzozo mkali wa ardhi katika mpaka wa kaunti za Laikipia na Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 9, 2025
5h ago
Mzozo mkali wa ardhi umeubuka katika mpaka wa Kaunti za Laikipia na Samburu. Gavana wa Samburu Jonathan Lati alitangaza kuwa ardhi ya Kirimon eneo la Laikipia Kaskazini yenye ekari elfu 44 inapaswa kugawiwa jamii ya Wasamburu. Ni kauli ambayo imezua mjadala mkali na hisia mseto m