Back to home

Mtu mmoja auawa na pikipiki kuteketezwa Isinya baada ya mzozo kati ya jamii mbili

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 9, 2025
4h ago
Mtu mmoja ameuawa kufuatia vurugu za usiku na mchana kutwa kati ya jamii mbili zinazozana eneo la Isinya kaunyi ya Kajiado. Hali imesalia tete eneo hilo kufuatia mzozo uliosababisha kuchomwa kwa pikipiki mbili.Kamanda wa polisi kaunti ya Kajiado Alex Shikondi sasa akisema watu sa